Sunday 23 February 2014

HATIMAYE HUDDAH MONROE AMTAJA MPENZI WAKE MPYA..HUYU HAPA


Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya katika jumba la Big Brother msimu uliopita, Huddah Monroe ambaye pia alikuwa mpenzi wa rapper Prezzo, ametangaza kuwa kwenye penzi jipya na msanii mwingine wa Kenya aitwae Colonel Mustafa.